Uchunguzi
 

Maandishi Matupu

Karibu Kwenye Idhaa Ya KiSwahili Ya Sauti Ya Nijeria.......................

Waziri mkuu wa Pakistan mheshimiwa  Yousaf Raza Gilani ame apishwa na rais Perverz Musharaff. Bwana Gilani anatarajiwa ku rahisisha unguvu wa utawala wa rais Musharraff unaosaidiwa na Amerika.

Waziri mkuu huyu ali kuwa mfuasi maalum wa marehemu bi Benazir Bhutto aliye ua hivi majuzi.

Moja kwa moja mheshimiwa Gulani ali toa agizo ku acha huru majaji walio kamatwa chini ya utawala wa ghafla wa rais Musharraff mwaka jana. 

IRAQ

Mapigano makali yame anza jijini Bassra kutokana na mashambulizi ya maelfu wa wanajeshi wa Iraq dhidi ya wanajeshi wa gha’mbo wa ki Shia katika kusini mwa Iraq.

Waziri mkuu wa Iraq bwana Noori Maliki yuko jijini Bassra kwa ku shahidi shambulizi  hili. Hii ni siku moja baada yak u ahidi ku weak hali ya usalama.

Bassra pako mikono ya makundi nyenye silaha, kama jeshi la Mehdi.

Jeshi hili lili sema lita piga maovu kwa maovu ikiwa wanajeshi wake waki sumbuliwa chini mpango wo wote wa usalama. 

UGIRIKI

China ime laumu waandamanaji walio sumbua sherehe yaku anzisha mchezowa Olimpiks nchini Ugiriki. Ika sema tendo laa ni lenye aibu..

Msemaji wa wizara ya mambo ya nje bwana Qin Gang ali sema sherehe ya Olimpiks ni kwa faidha ya binadamu wote. Kwa hivyo ni kitu cha aibu kwa mtu ye yote ku haribu sherehe hii.

 
 

Home | Contact | VON | Contact Us | archive
Webmaster@voiceofnigeria.org :Change Password :VON Staff Sign Up
Copyright© 2007. All Rights Reserved Voice Of Nigeria. Developed by: VON ON-LINE

7255KHz 41m; 9690KHz 31m; 11770KHz 25m; 15120KHz  19m