Uchunguzi
 

Maandishi Matupu

Karibu Kwenye Idhaa Ya KiSwahili Ya Sauti Ya Nijeria.......................

TIBETI

Serekali ya Tibet yakamata watuhumiwa 24 kwa jinai la kichaka baada majeshi kushambulia maandamano ya kipinga uongozi wa Uchina. 

Afisi ya mwanasheria jijini Lhasa,yasema watumiwa hao walikamatwa kwaku hathirisha usalama wa taifa ,shaka, ponda, teka, kuteketeza nyumba na jinai za hatari mbaya siku ya ijumaa. 

Walakini Dalai Lama amesema yuko tayari kukutana na viongozi wa Uchina pamoja na Rais  Hu Jin Tao. 

Lakini mkimbizi wa Tibeti mkuu wa dini la  Bhuda alikataa kukutana na viongozi wa Uchina jijini Beijing hadi kuna maendeleoya ukweli . alisema ata furahi kukutana nao penginepo.

 
 

Home | Contact | VON | Contact Us | archive
Webmaster@voiceofnigeria.org :Change Password :VON Staff Sign Up
Copyright© 2007. All Rights Reserved Voice Of Nigeria. Developed by: VON ON-LINE

7255KHz 41m; 9690KHz 31m; 11770KHz 25m; 15120KHz  19m