Wakaazi wa
patio mia mmoja wame jisalimisha kwa polisi nchini Tibet kutoka
maamano dhidi ya China , katika
mji mkuu wa Lhasa .
Wakaazi
hao walijisalimisha amri kabla ya muda wa mwisho ulio tangazwa
na mamlaka, ilyo tangaza kutoa adhabu kwa wao wasio ji salimisha
amri.
Wa piga
naji wa sema polisi wame anza kupekua nyumba na ku kamata watu.
China ime shtaki
Dalai Lama kwa maandamano
hayo.Lakini Dalai Lama aliyepata
tuzo la Nobel la amani mwaka wa 1989, kwa aandamano bila ya
ghasia, alikata mashtaka hayo.
Ametoa
mwito kwa uchunguzi wa kimataifa ili kujua sababu za maandamano
hayo.
IRAQ
Polisi
nchini Iraq wa sema mhanga wa
kike mmoja ame ua watu wa tatu na ku jehuria kumi na wa wawili
wengineo karibu na kituo cha bus, mashariki ya kazkazini mwa
jijini Baghdad .
Ofisa
mmoja alitangaza kwamba shambulizi hili lilifanyika siku ya
jumatano katika eneo la Diyala.
Ripoti
zisema wagaidi siku hizi hutumia wanawake zaidi kwa kuwa wahanga,
kwa sababu hawa chunguzwi kama wanaume