Uchunguzi
 

Maandishi Matupu

Karibu Kwenye Idhaa Ya KiSwahili Ya Sauti Ya Nijeria.......................

Seneti nchini Nigeria limetangaza kwamba wataanzilia tena kuunda kamati itayo zibadilisha sheria za taifa. 

Naibu kiongozi wa seneti, Chief Ike Ekweremadu ndiye aliye nena hayo alipokuwa ajibu maswali ya waandishi wa habari katika mji mkuu wa mkoa wa Abia. 

Akieleza kuwa kuchelewa kwa kuzibadilisha sheria hizo ilisababiswa na hatua ya bunge kutoa bajeti ya mwaka huu. Kufwatana na masemo yake ,amesema kwamba bunge la mikoa litaitwa pia kwakusaidia mabadiliko yale. 

Mabadiliko ya sheria hizo imeombwa  pia na mikoa mingi na seneti imekwisha weak wa seneti wasimamizi wa mikoa hizo kuchukua malalamiko yao.  

Nigeria imezindua kamati kimataifa ya sayansi kwa kufanya kazi pamoja na kuleta maendeleo haraka nchini. 

Hayo yaliandikwa katika kibarua toka mjumbe wa Tume la hesabu kali nchini liitwalo (NMC) bwana Njoku Onyekanchi aliyesema kwamba tume hilo limezinduliwa na waziri wa majifunzo, Doctor Igwe Aja- Nwachukwu akiwa pia mshauri wa kamati hio. 

Waziri huyo ameendelea nakusema kwamba hii ni moja ya hatua ya serekali ya sasa kwa kusahihisha makosa ya siku zilizoisha na kuwaweka  wote kwakusaidia mwenendo wa maendeleo nchini. 

Waziri huyo ameeleza tena, nakusema“ kwa Nigeria kuwa  moja wa nchi zenye kuendelea vizuri na zenye uchumi staafu itatubidi tukuze Sayansi na Teknolojia.

Mwanamemba moja wa bunge nchini Nigeria Bwana Chineye Ike amesema kuwa kusikilizwa kwa maafisa mbele ya tume la wakilishi kufwatana na swala la ukosefu wa umeme, itawasaidia wengine kwenye huduma hizo na nyingine ku tafakari na kufanya juhudi ili kutoa vema huduma zile. 

Waendeza kesi hio wamesema kwamba hii ni hatua muhimu inayo onyesha kwa taifa lote namna gain serekali ya sasa ina lengo la kuleta sheria, maendeleo na kukuza uchumi nchini kote. 

Bwana Ike, aliye mwanamemba wa kamati ya huduma za moto wa umeme kwenye yume la wakilishi, ameonya kuwa kumalizika kwa kesi hii, itakuwa kama ushuhuda kwa maafisa wengine katika huduma hizo na nyingine katika siku zijazo.

 
 

Home | Contact | VON | Contact Us | archive
Webmaster@voiceofnigeria.org :Change Password :VON Staff Sign Up
Copyright© 2007. All Rights Reserved Voice Of Nigeria. Developed by: VON ON-LINE

7255KHz 41m; 9690KHz 31m; 11770KHz 25m; 15120KHz  19m