Uchunguzi
 

Maandishi Matupu

Karibu Kwenye Idhaa Ya KiSwahili Ya Sauti Ya Nijeria.......................

Serekali ya Nigeria ime zinduwa kamati ya taifa kwa mipango kwa kuhakikisha kuhuzuria kwa faida katika mkutano wa mataifa kwa mafuta mabichi utakao fayinka mjini Madrid, miji kuu wa Uspania. 

Aliyesema hayo, ni msimamizi wa kamati hiyo Dkt. Levi Ajunuma, alipokuwa wizarani Lagos, kusini mashariki ya Nigeria

Kichwa cha mkutano huo wa kilele wa mwaka huu ni “ULIMWENGU NJIANI KWA MABADILIKO”.  Bwana Ajunuma ame onya tena 0kwa0m0ba Nigeria ni moja ya nchi kuuu ulimwenguni inayo zaa mafuta na mvuke na inahatua muhimu wa kukuzahuduma hizo, nakuuza mafuta kwa mataifa yote kwa bei raisi. 

Amesema tena kuwa mkutano huo utaipatiya Nigeria nafasi yakufunua mpango wa saba wa rais Musa Yard’dua kwa Nigeria kuwa moja ya nchi kuu duniani kwa kutoa na kuuza mafuta kwa mataifa mengine.

 

Kamati ya seneti kwa huduma za majifunzo wameileta suluhu didhi ya mabishano kwenye chuo kikuu cha Ilori na Kwara kuhusu kufukuzwa kwa maprofesa 49 wanamemba wa muhungano wa maprofesa wa vyuo vikuu ASSU. 

Wanakamati wa seneti kwa majifunzo wame toa suluhu wakiomba maprofesa walio fukuzwa kazini kuomba msamaha haraka kwa tume unao ongoza vyuo vikuu nchini.

Wakiomba pia kwa tume hiyo kuwa samahe bila shida yeyote na kwa muda mfupi wa rudishwe kazini.   

Mwandishi wetu wa Sauti ya Nigeria Obiora Ani amesema kwamba seneti waliwatakia wanigeria wote sherehe ya Id-Maulud.

 
 

Home | Contact | VON | Contact Us | archive
Webmaster@voiceofnigeria.org :Change Password :VON Staff Sign Up
Copyright© 2007. All Rights Reserved Voice Of Nigeria. Developed by: VON ON-LINE

7255KHz 41m; 9690KHz 31m; 11770KHz 25m; 15120KHz  19m