Uchunguzi
 

Maandishi Matupu

Karibu Kwenye Idhaa Ya KiSwahili Ya Sauti Ya Nijeria.......................

DARFUR/ANNAN 

Katibu mku zamani wa Umoja wa Mataifa Bwana Kofi Annan amekana onyo kwamba anaweza kuchukua kazi ya upatanisho wa ghasia katika Darfur nchini Sudan. 

Kundi ya uasi katika Darfur, The Justice and Equality Movement (JEM)  ya dai mazaungumzo ya amani na serekali ya Sudan na inataka Bwana Annan kupatanisha. 

Akiulizwa kama atahusikana na Sudan, Bwana Annan alisema kwamba tayari wako wajumbe muhimu wanayo ongoza suala humo na una hitaji kubakia hivyo. 

Mjumbe wa Umoja wa Mataifa, Jan Eliasson na Mjumbe wa Umoja wa Afrika Salim Ahmed Salim wana ongoza bidhi ya kupatana baina ya makundi ya uasi mbali mbali na serekali ya Sudan ili kukomesha vita yaliye anza mwaka 2003. 

AU/COMOROS 

Kikosi mpya cha majeshi ya kulinda amani ya Umoja wa Afrika (AU) kime fika visiwa vya Comoros vya Moheli siku ya Ijumaa and kuungana na majeshi ya Comoros kwa nia ya kuteka tena kisiwa cha uasi Anjouan. 

The Indian Ocean, bahari yenye visiwa vidogo vingi baina ya Madagascar na Msumbichi, azikuungama uchaguzi tena wa kiongozi wa Anjouan, Coloneli Mohamed Bascar mwezi wa Juni mwaka 2007. 

Ripoti ya sema jumla wa majeshi mia moja hamsini wa Tanzania walifika mji wa Fomboni katika Moheli, kisiwa kidogo kuliko visiwa tatu  siku ya Ijumaa. 

Pia ripoti iliendelea kwamba majeshi ya Afrika zaidi wana hitaji siku ya Ijumaa hii ambayo kikosi cha kwanza cha majeshi mia mbili wa Sudan na mia moja hamsini wa Tanzania walifika siku ya Alhamisi.

 

 
 

Home | Contact | VON | Contact Us |
Webmaster@voiceofnigeria.org :Change Password :VON Staff Sign Up
Copyright© 2007. All Rights Reserved Voice Of Nigeria. Developed by: VON ON-LINE

7255KHz 41m; 9690KHz 31m; 11770KHz 25m; 15120KHz  19m