Uchunguzi
 

Maandishi Matupu

Karibu Kwenye Idhaa Ya KiSwahili Ya Sauti Ya Nijeria.......................

KENYA 

Umoja wa Mataifa umesema kwamba wale wote waliotenda majinai ya hatari wakati ghasia za kura zilipo zuka Kenya bila kusukumwa na mtu wewote, hawata achiliwa huru bila kupewa malipizi kisheria. 

Katika ripoti ya Umoja wa Mataifa waliotoa siku ya Jumatano, wame omba maafisa wa serekali ya Kenya kuwa fuatilia na kuweka mbaroni watendaji wa majinai wakati ya ghasia za kura, wakiwemo maafisa wa askari wa polisi. 

Kiongozi wa upinzani, Raila Odinga pamoja na Rais Mwai Kibaki wali onya kuwa washindi wa kura za kirais, neno lililo zusha kumwangika kwa damu kwa muda wa mawiki nchini humo. 

Zaidi ya watu elfu moja wali fariki katika ghasia za kura ya urais na kuleta neno la ubaguzi wa kikabila  na mabishano dhidi ya ardhi na ugawanyaji wa matuda ya kiuchumi. 

CHAD 

Kiongozi wa kikosi cha muungano wa ulaya  amesema kwamba, waasi walioko karibu na mpaka wa Chad na Sudan hawazuru vikosi vyake kwa kuendesha oparesheni zao za kulinda raia na wakimbizi gimboni  humo. 

Lutenati Jenerali wa Irelandi Bwana Patrick Nash ame eleza hayo kwa vyombo vya  habari akisema tena kuwa waasi walio kimbia toka mji kuu Ndjamena  mwanzoni mwa mwezi wa Februari,wapo sasa mashariki ya nchi hio. 

Amesema kwamba waasi hao hadi sasa  hawazui kikosi chake kufanya kazi na kuongeza kusema kwamba waasi hao wako karibu na mpaka wa Chad na Sudan

Alikana masemo ya serekali ya Chad ilio tangaza kwamba waasi hao wame vukia ngambo ya Sudan kwa kutayarisha shambulio mpya dhidi ya serekali yake. 

Muungano wa ulaya ume fanya hatua yake muhimu kwa kuwa tuma vikosi vyake kulinda amani nchini Chad na wengine kwenda Jamhuri ya Kati kwa kulinda amani..

 
 

Home | Contact | VON | Contact Us | archive
Webmaster@voiceofnigeria.org :Change Password :VON Staff Sign Up
Copyright© 2007. All Rights Reserved Voice Of Nigeria. Developed by: VON ON-LINE

7255KHz 41m; 9690KHz 31m; 11770KHz 25m; 15120KHz  19m