Katibu
mkuu wa umoja wa mataifa, bwana Ban Ki Moon ame changilia jumia
ya ki mataifa ku jenga mpango wa amani nchini Somalia kwa
kuongeza bidhii za kisiasa za umoja wa mataifa na ku pelekea
vikosi vipatavyo elfo nane pale.
Aka sema
njia hii ita wezesha wanajeshi wa
Ethiopia ku ondoka kutoka Somalia baada ya wao wanajeshi
walipo saidia serikali ya Somalia kushinda makundi wa Islam
mwezi wa December, mwaka wa 2006.
Katika
riporti iliyotarajiwa kwa muda mrefu kwa baraza la usalama bwana
Ban aka sema umoja wa mataifa una angalia njia tatu kwa ku pata
amani baina ya serikali ya mpito na makundi ya upinzani.
Habari
nyengine isema kwamba amerika aime fafanua kundi la wanaga’mbo
la al sha baab nchini Somalia kama kundi la wagaidi kutoka nje.
Kundi hili
la Al shabaab ni kundi la kijeshi la baraza la islam la Somalia
lililo ongoza takriban Somalia kote kwa nusu ya mwaka wa 2006,
mpaka serikali ya mpito ya Somalia ilipo wa shinda kwa kupitia
msaada kutoka wanajeshi wa Ethiopia
.
Kiongozi
wa kundi hilibwana Aden Heshi Farah Ayro ali pata bahati kwa
kusi ua katika shambulizi la amerika mwezi wa Januari, mwaka wa
2007.
ZANZIBAR
Waongozi
wa upinzani katika Zanzibar wa
tangaza kwamba wame fanya patano na
Chama Cha CCM kinacho tawala, kwa ku pata serikali ya
umoja.
Kiongozi
wa chama cha Civic United Front bwana Seif Hamad ali tangaza
kwamba serikali hii ita
thibitishwa hivi karibuni.
Patano
hili lili fanyika baada ya mzima wa mazugumzo, kutoka na
uchaguzi mwenye jeuri, mwaka wa 2005.
Bwana
Hamad haku toa maelezo zaidi juu ya utawala huu.